Friday, February 11, 2011


Nyayo hizi  ziligunduliwa  mwaka 1978 na mtafiti wa mambo ya kale Dk Mary Leakey na timu yake ya watafiti na walizifukia nyayo hizo kuzihifadhi ambapo mwaka 1990 mimea ya migunga na mimea mingine ikaota  juu yake  na kutishia  uharibifu wa nyayo hizo 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.