Friday, February 11, 2011



Profesa Charles Musiba

Mwaka 1998 nyayo hizo zilifukiwa  tena  baada ya  kufukuliwa  na kuhifadhiwa  kitaalam kwa kutumia  nyenzo maalum zilizotengenezwa  na taasisi ya uhifadhi ya Getty  ya nchini Marekani.

Zoezi la ufukuaji wa  nyayo hizi lilianza  Februari 8, mwaka huu mara baada ya wanasayansi , watafiti  na wataalam wa mambo ya miamba, kumbukumbu kuwasili kutoka nje ya nchi na ndani  katika eneo la Laitoli.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.