Friday, February 11, 2011

UFUKUAJI WA NYAYO-NGORONGORO

Wataalam na wanasayansi  wa ndani na nje ya nchi, wakianza kazi ya ufukuaji wa nyayo za zamadam katika eneo la Laetoli Ngorongoro, kazi ambayo inaongozwa na Profesa Phidelis Masao  wa chuo kikuu cha Dar es Salaam  na Profesa Charles Musiba wa chuo kikuu cha  Denver nchini Marekani

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.